Thursday, May 25, 2017

thumbnail

BREAKING: Tetemeko jingine latokea kanda ya ziwa

Ni habari za leo May 25 2017 mchana kutokea upande wa kanda ya ziwa ambako bado Wakazi wa eneo hilo hawajasahau tetemeko lililogharimu maisha ya watu na mali zao kwa upande wa Kagera.
Habari ya leo ni kwamba tetemeko limeripotiwa kutokea hukohuko Kanda ya ziwa kwenye maeneo ya Mwanza na Geita lakini hakuna madhara yaliyoripotiwa mpaka sasa.
Japo halijasababisha uharibifu wowote tetemeko hilo la leo ambalo inaripotiwa limechukua kuanzia sekunde 7-10 limesababisha baadhi ya waliokuwemo kwenye majengo ya gorofa kutoka kwenye majengo hayo wakiwemo Wanafunzi wa  chuo cha SAUTI Mwanza.

Subscribe by Email

Follow Updates Articles from This Blog via Email

No Comments

About

Powered by Blogger.

Facebook

STORI ZA NYUMA

DESIGNED BY: SEETHEAFRICANLINK

MICHEZO

3/SPORTS/small-col-left

HABARI

3/GENERAL NEWS/small-col-left

UDAKU

3/GOSSIP/small-col-left

BURUDANI

3/ENTERTAINMENT/small-col-left

Fashion

Nature

Business

Main Slider

10/slider-recent

Music