Hivi karibuni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dr. Harrison Mwakyembe alisimama Bungeni Dodoma akiwataka wasanii wajiepushe kuimba siasa badala yake waelimisha jamii kauli ambayo imekuwa gumzo kwa wadau wa muziki.
“Siasa na Muziki ni ngumu kuitenganisha kwa sababu hii kitu inaunganishwa na kitu kinaitwa Jamii. Kuna vitu vitatu; siasa, muziki na jamii na jamii inakaa katikati ya siasa na muziki.” – Kala Jeremiah.
Subscribe by Email
Follow Updates Articles from This Blog via Email
No Comments