Saturday, May 27, 2017

thumbnail

Simba yanyakuwa Ubingwa, Kotei awa mchezaji bora wa mechi


Kiungo wa Simba, James Kotei amekuwa mchezaji bora wa mechi ya fainali ya Kombe la Shirikisho.

Katika mechi hiyo, Simba imeshinda kwa mabao 2-1 na kubeba ubingwa.

Kotei alicheza namba nne na kuonyesha kiwango cha juu kabisa katika mchezo huo.

Subscribe by Email

Follow Updates Articles from This Blog via Email

No Comments

About

Powered by Blogger.

Facebook

STORI ZA NYUMA

DESIGNED BY: SEETHEAFRICANLINK

MICHEZO

3/SPORTS/small-col-left

HABARI

3/GENERAL NEWS/small-col-left

UDAKU

3/GOSSIP/small-col-left

BURUDANI

3/ENTERTAINMENT/small-col-left

Fashion

Nature

Business

Main Slider

10/slider-recent

Music