Kiungo wa Simba, James Kotei amekuwa mchezaji bora wa mechi ya fainali ya Kombe
la Shirikisho.
Katika mechi hiyo, Simba imeshinda kwa mabao 2-1 na kubeba ubingwa.
Kotei alicheza namba nne na kuonyesha kiwango cha juu kabisa katika mchezo huo.
Katika mechi hiyo, Simba imeshinda kwa mabao 2-1 na kubeba ubingwa.
Kotei alicheza namba nne na kuonyesha kiwango cha juu kabisa katika mchezo huo.
Subscribe by Email
Follow Updates Articles from This Blog via Email

No Comments