Leo May
29, 2017 Rais Magufuli amemwapisha Simon Sirro kuwa Mkuu wa Jesho la
Polisi Tanzania (IGP), baada ya kuteuliwa kushika nafasi hiyo May 28.
IGP Sirro amechukua nafasi ya Ernest Mangu ambaye imeelezwa atapangiwa
kazi nyingine.Nimekuwekea hapa picha za matukio yote ya kuapishwa kwa IGP Sirro.
Subscribe by Email
Follow Updates Articles from This Blog via Email













No Comments