Sunday, May 28, 2017

thumbnail

Umemsikia Belle 9 kuhusu Ben Pol?



Msanii wa bongo fleva Belle 9 mwenye 'hit song' ya 'Ma Ole' alioshirikiana na G Nako amefunguka kwa kusema hawezi kufanya 'promo' ya kutangaza muziki wake kwa kupiga picha zitakazo kuwa zinamuonesha mwili wake kama alivyofanya Ben Pol hivi karibuni.
Belle amebainisha hayo kupitia kipindi cha FNL kinachorushwa na EATV kila siku ya Ijumaa kuanzia saa tatu kamili usiku mpaka saa tano za usiku.

"Kwa maadili ya kiafrika na kwa jinsi ambavyo tumezoea sio kitu cha kawaida ninaweza sema lakini sijui labda anaweza akaja kutengeneza sababu ambazo zitaendana na zile picha...Kiukweli mimi siwezi, Siamini katika hilo kuwa muziki wa Ben Pol umeshindwa na upepo ila naona kama ameenda 'speed' kidogo...Ben Pol ana ujasiri mkubwa " alisema Belle 9.

Subscribe by Email

Follow Updates Articles from This Blog via Email

No Comments

About

Powered by Blogger.

Facebook

STORI ZA NYUMA

DESIGNED BY: SEETHEAFRICANLINK

MICHEZO

3/SPORTS/small-col-left

HABARI

3/GENERAL NEWS/small-col-left

UDAKU

3/GOSSIP/small-col-left

BURUDANI

3/ENTERTAINMENT/small-col-left

Fashion

Nature

Business

Main Slider

10/slider-recent

Music