Friday, June 30, 2017

thumbnail

Albamu ya Jay Z yatua sokoni


Albamu ya rapper Jay Z imeanza kupatikana leo ikiwa zimepita siku kadhaa tangu alipoutambulisha ulimwengu kuhusu ujio wa album yake hiyo ya 13 iitwayo, 4:44.
Inadaiwa kuwa kati ya ngoma 10 ambazo zinapatikana katika albamu hiyo zimetayarishwa na producer No I.D.
Albamu hiyo imewakutanisha wasanii kama BeyoncĂ©, Frank Ocean, Damian Marley, Kim Burrell, The-Dream na inanyimbo kama vile ‘Bam’, ‘4:44’, ‘Marcy Me’, ‘Smile’, ‘Legacy’ na nyingine.
Kwa sasa albamu hiyo imeanza kuipatikana kwenye mtandao wa Tidal.

Subscribe by Email

Follow Updates Articles from This Blog via Email

No Comments

About

Powered by Blogger.

Facebook

STORI ZA NYUMA

DESIGNED BY: SEETHEAFRICANLINK

MICHEZO

3/SPORTS/small-col-left

HABARI

3/GENERAL NEWS/small-col-left

UDAKU

3/GOSSIP/small-col-left

BURUDANI

3/ENTERTAINMENT/small-col-left

Fashion

Nature

Business

Main Slider

10/slider-recent

Music