Friday, June 2, 2017

thumbnail

Christian Bella hoi nchini Congo


King of the best melody, Christian Bella amelazwa hospitalini nchini Congo DRC baada ya kuugua ghafla.



Bella aliwasili nchini humo takriban wiki ya mbili sasa akiwa pamoja na TID ambapo tayari ameshafanya show kadhaa nchini humo.

Muimbaji huyo wa Malaika Band, ameweka picha katika mtandao wa Instagram akionekana amelazwa hospitalini huku akiwa ametundikiwa drip kitendo kinachoonyesha hali yake siyo nzuri.
Hata hivyo mpaka sasa haijajulikana ni ugonjwa gani unamsumbua msanii huyo.

Subscribe by Email

Follow Updates Articles from This Blog via Email

No Comments

About

Powered by Blogger.

Facebook

STORI ZA NYUMA

DESIGNED BY: SEETHEAFRICANLINK

MICHEZO

3/SPORTS/small-col-left

HABARI

3/GENERAL NEWS/small-col-left

UDAKU

3/GOSSIP/small-col-left

BURUDANI

3/ENTERTAINMENT/small-col-left

Fashion

Nature

Business

Main Slider

10/slider-recent

Music