Saturday, June 24, 2017

thumbnail

Kigezo cha kumsainisha Darassa record label


Rapper huyo ameeleza kuwa kwanza linapokuja suala la lebo ni biashara ambayo unapaswa kuridhia na kujua maslai yako wapi.
“Mtu kama mimi huwa sipiganii maslai yangu tu kwa sababu naamini ningekuwa napigania maslai yangu tu ningekuwa na mafanikio makubwa kuliko wasanii wengine wote kwa kitu ambacho nimekipata lakini huwa naangalia na watu wanaonizunguka kwa kuwa sifanyi hivi vitu pekee yangu,” Darassa ameiambia XXL ya Clouds FM na kuongeza
“Kwa hiyo kutoka kwenye lebo moja kwenda nyingine lazima niangalie na watu wanaoniamini, nimetembea nao safari ndefu lazima ni angali na wao watabaki katika nafasi gani kitendo cha mimi kuchukuliwa kwenda kusaini lebo nyingi.”

Subscribe by Email

Follow Updates Articles from This Blog via Email

No Comments

About

Powered by Blogger.

Facebook

STORI ZA NYUMA

DESIGNED BY: SEETHEAFRICANLINK

MICHEZO

3/SPORTS/small-col-left

HABARI

3/GENERAL NEWS/small-col-left

UDAKU

3/GOSSIP/small-col-left

BURUDANI

3/ENTERTAINMENT/small-col-left

Fashion

Nature

Business

Main Slider

10/slider-recent

Music