Wednesday, June 28, 2017

thumbnail

Maalim Seif asema Wajumbe wa Bodi CUF waliosajiliwa na RITA ni feki



Katibu Mkuu wa Chama Cha wananchi CUF amesema kuwa wajumbe wa Bodi ya wadhamini waliosajiliwa na Rita ni feki.

Maalimu Seif amesema kuwa wajumbe hao walipandikizwa na Mwenyekiti anayetambulika na Msajili wa Vyama vya siasa nchini profesa Ibrahim Lipumba.

Maalimu Seif pia ameeleza mbinu zilizosukwa   kumpindua, Mbinu  zilizotumika kutaka kumpindua na kumuondoa ndani ya Chama hicho.

Maalimu Seif amesema kuwa njama hizo ni pamoja na kufoji nyaraka za Usajili wa Bodi ya wadhamini.

Amesema kuwa mipango hiyo imeratibiwa na Msajili wa Vyama vya siasa pamoja na Mwenyekiti wa Chama hicho anayetambulika na Masajili wa Vyama ambapo mbinu hizo amedai kuzigundua.

Subscribe by Email

Follow Updates Articles from This Blog via Email

No Comments

About

Powered by Blogger.

Facebook

STORI ZA NYUMA

DESIGNED BY: SEETHEAFRICANLINK

MICHEZO

3/SPORTS/small-col-left

HABARI

3/GENERAL NEWS/small-col-left

UDAKU

3/GOSSIP/small-col-left

BURUDANI

3/ENTERTAINMENT/small-col-left

Fashion

Nature

Business

Main Slider

10/slider-recent

Music