Tuesday, June 27, 2017

thumbnail

Mh Lowassa kupatiwa msaada wa kisheria


Baada ya Waziri mkuu mstaafu Mh. Edward Lowassa kuitwa na Mkurugenzi wa makosa ya Jinahi (DCI) kwa mahojiano hatimae Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetoa maelekezo kwa Kurugenzi ya katiba na sheria kuhakikisha wanampatia Mh Lowasa msaada wa kisheria kwenye mahojiano hayo.

Kupitia taarifa iliyotolewa na Idara ya mawasiliano CHADEMA, Mkuu wa idara ya habari, Tumain Makene amesema Mh. Lowassa amepata wito kutoka kwa Mkurugenzi wa makosa ya jinai (DCI) jana ambaye amemtaka afike leo saa nne asubuhi bila kupewa maelezo wala ufafanuzi juu ya nini kitajiri katika mahojiano hayo.


Subscribe by Email

Follow Updates Articles from This Blog via Email

No Comments

About

Powered by Blogger.

Facebook

STORI ZA NYUMA

DESIGNED BY: SEETHEAFRICANLINK

MICHEZO

3/SPORTS/small-col-left

HABARI

3/GENERAL NEWS/small-col-left

UDAKU

3/GOSSIP/small-col-left

BURUDANI

3/ENTERTAINMENT/small-col-left

Fashion

Nature

Business

Main Slider

10/slider-recent

Music