Thursday, June 29, 2017

thumbnail

Polepole amvaa Lowassa.


Katibu wa Itikadi na Uenezi amesema kuwa Serikali imchukulie hatua kiongozo aliyesikika hivi Karibuni akifitinisha Waumini wa Dini ya Kiislamu na Serikali.

Juzi aliyekuwa Mgombea Urais kwa Tiketi ya Chadema Edward Lowassa alihojiwa na Jeshi la Polisi kwa kilichodaiwa kuwa ni maneno ya kiuchochezi aliyoyatoa kwa Waumini wa Dini ya Kiislamu kwa Serikali.

Polepole amesema kuwa kiongozi wa namna hiyo anapaswa kuchukuliwa hatua.

Subscribe by Email

Follow Updates Articles from This Blog via Email

No Comments

About

Powered by Blogger.

Facebook

STORI ZA NYUMA

DESIGNED BY: SEETHEAFRICANLINK

MICHEZO

3/SPORTS/small-col-left

HABARI

3/GENERAL NEWS/small-col-left

UDAKU

3/GOSSIP/small-col-left

BURUDANI

3/ENTERTAINMENT/small-col-left

Fashion

Nature

Business

Main Slider

10/slider-recent

Music