Sunday, June 4, 2017

thumbnail

Taarifa 'feki' inayosambaa mtandaoni kumuhusu Anna Mghwira


Mimi Anna mgwira nimejivua uwanachama wangu ACT-Wazalendo ili nikaweze kuwatumikia wana Kilimanjaro 
Kwakua nimejivua uwanachama mwenyewe moja Kwa moja nyadhifa zangu zote zitakuwa hazipo 
Namshukuru sana mh zitto Zuheri kabwe na wanachama wote ACT-Wazalendo kwakuniamini na kunipa nafasi ya kuwaongoza 
Hivyo kuanzia Leo tarehe 4/6/2017 Mimi sio mwanachama tena wa ACT-Wazalendo 
Kazi yangu sasa ni kuwatumikia wananchi kupitia nafasi yangu ya sasa ya Ukuu wa Mkoa Kilimanjaro 
Hii ni heshma kubwa kwangu na Kwa familia yangu Kwa ujumla 
Mungu awabariki 
Anna mgwira 
Leo 4/6/2017: saa7:30 mchana

Hata muda mchache baada ya kusambaa kwa taarifa hiyo, Ofisa habari wa chama cha ACT-Wazalendo Abdallah Hamisi amekanusha taarifa hiyo.

Subscribe by Email

Follow Updates Articles from This Blog via Email

No Comments

About

Powered by Blogger.

Facebook

STORI ZA NYUMA

DESIGNED BY: SEETHEAFRICANLINK

MICHEZO

3/SPORTS/small-col-left

HABARI

3/GENERAL NEWS/small-col-left

UDAKU

3/GOSSIP/small-col-left

BURUDANI

3/ENTERTAINMENT/small-col-left

Fashion

Nature

Business

Main Slider

10/slider-recent

Music