Thursday, June 22, 2017

thumbnail

Taarifa mpya kumuhusu Yusuph Mlela


Taarifa nyingine kutoka kiwanda cha Bongomovie ni hii inayomuhusu Yusuph Mlela ambaye a metangaza rasmi kuingia kwenye ubondia na yuko tayari kwa pambano muda wowote.

“Nimeingia kwenye ubondia lakini sio kama nimeacha kucheza filamu. Kwa sasa filamu zangu nafanya nchini Kenya na zinaonyeshwa kwenye kituo kikubwa hapa nchini Tanzania. Nimeingia kwenye ubondia kwa sababu hiki ni kitu ambacho nilikuwa nakipenda tangu utotoni.” – Yusuph Mlela.


“Kuna promoter alinifata kwa ajili ya kuaadaa pambano mimi na Nay wa Mitego lakini bado tupo kwenye maongezi. Simuogopi mtu yeyote ili mradi awe kwenye uzito wangu nitakuwa niko tayari kupigana naye.” – Yusuph Mlela.

Subscribe by Email

Follow Updates Articles from This Blog via Email

No Comments

About

Powered by Blogger.

Facebook

STORI ZA NYUMA

DESIGNED BY: SEETHEAFRICANLINK

MICHEZO

3/SPORTS/small-col-left

HABARI

3/GENERAL NEWS/small-col-left

UDAKU

3/GOSSIP/small-col-left

BURUDANI

3/ENTERTAINMENT/small-col-left

Fashion

Nature

Business

Main Slider

10/slider-recent

Music