msanii na Producer wa muziki Akon ametoa ushauri kwa yoyote aliyechanwa na JAY-Z kwenye album yake mpya 4:44.
Akon anasema “Jay Z huwa hasema sana kuhusu mtu ila kama JAY-Z Kasema kitu kuhusu wewe basi anaushahidi wa kudhibitisha alichosema ni kweli na atakuwa na habari zaidi ya alichosema“.
Wasanii wakubwa kama Eric Benet na Kanye West wamechanwa na Jay Z kwenye hii album mpya na tayari Eric amejibu mashambulilizi.
Alichosema Ben Pol Baada ya Kukutana Na Ebitoke, Sababu za Kuachia Wimbo wake “Natuliza Boli
”
Alichosema Ben Pol Baada ya Kukutana Na Ebitoke, Sababu za Kuachia Wimbo wake “Natuliza Boli
”
Subscribe by Email
Follow Updates Articles from This Blog via Email

No Comments