Sunday, July 2, 2017

thumbnail

Akon amkingia kifua Jay Z katika kuwachana wasanii kwenye album mpya.



msanii na Producer wa muziki Akon ametoa ushauri kwa yoyote aliyechanwa na JAY-Z kwenye album yake mpya 4:44.
Akon anasema “Jay Z huwa hasema sana kuhusu mtu ila kama JAY-Z Kasema kitu kuhusu wewe basi anaushahidi wa kudhibitisha alichosema ni kweli na atakuwa na habari zaidi ya alichosema“.
Wasanii wakubwa kama Eric Benet na Kanye West wamechanwa na Jay Z kwenye hii album mpya na tayari Eric amejibu mashambulilizi.
Alichosema Ben Pol Baada ya Kukutana Na Ebitoke, Sababu za Kuachia Wimbo wake “Natuliza Boli

Subscribe by Email

Follow Updates Articles from This Blog via Email

No Comments

About

Powered by Blogger.

Facebook

STORI ZA NYUMA

DESIGNED BY: SEETHEAFRICANLINK

MICHEZO

3/SPORTS/small-col-left

HABARI

3/GENERAL NEWS/small-col-left

UDAKU

3/GOSSIP/small-col-left

BURUDANI

3/ENTERTAINMENT/small-col-left

Fashion

Nature

Business

Main Slider

10/slider-recent

Music