Thursday, July 20, 2017

thumbnail

BABY Madaha Akimbilia Mwanza Kufanya Zindiko........


MSANII wa filamu na muziki Bongo, Baby Madaha Joseph, amekiri kuwa kila mwaka hurudi kwao Mwanza kwa ajili ya kuonana na wazee wake ‘kutambika’ ambao humsaidia kufanya mambo yake yaende vizuri mjini, kitu alichosema ni muhimu sana katika wakati huu ambao maisha ni magumu.
Akizungumza na Za Motomoto News, Baby Madaha alisema huwa anakwenda kwao kila mwaka na hivi sasa yupo huko kwa ajili ya kuwaona wazee wa kimila kwani huwa wanamsaidia, hasa pale mambo yanapokuwa magumu.

“Bila wazee mambo hayaendi kabisa, niko kwetu Mwanza kwa ajili ya kufanya mambo ya kimila ili walau mambo yaende vizuri mjini maana hali imekuwa mbaya sana, nimekuwa nikifanya hivyo kila mwaka na nimeona huwa inasaidia sana,” alisema.

Subscribe by Email

Follow Updates Articles from This Blog via Email

No Comments

About

Powered by Blogger.

Facebook

STORI ZA NYUMA

DESIGNED BY: SEETHEAFRICANLINK

MICHEZO

3/SPORTS/small-col-left

HABARI

3/GENERAL NEWS/small-col-left

UDAKU

3/GOSSIP/small-col-left

BURUDANI

3/ENTERTAINMENT/small-col-left

Fashion

Nature

Business

Main Slider

10/slider-recent

Music