Friday, July 21, 2017

thumbnail

Msanii Chester Bennington afariki dunia kwa kujiua


Chester alikutwa amefariki dunia akidaiwa kujinyonga mwenyewe nyumbani kwake Palos Verdes Estates mjini Los Angles. Muimbaji huyo wa Linkin Park pia alikuwa na urafiki wa ukaribu na Chris Cornell amabye na yeye alijiuwa mwezi Mei mwaka huu kwa kuzidisha madawa.
Joe Hahn DJ wa kundi la Linkin Park akielekea msibanit
Chanzo cha kifo cha Chester kimeelezwa kuwa marehemu alikuwa akinyanyaswa na mwanaume mmoja hali iliyokuwa ikimpelekea kujiona kama mtoto.
Kifo hiko kimetokea wakati kundi la Linkin Park, likijiandaa kwenda kufanya photoshoot mjini Hollywood kwa ajili ya wimbo wao mpya. Marehemu ameacha watoto sita aliokuwa amezaa na wanawake wawili tofauti, pia inaelezwa msanii huyo alikuwa akitumia madawa ya kulevya pamoja na pombe kali.

Subscribe by Email

Follow Updates Articles from This Blog via Email

No Comments

About

Powered by Blogger.

Facebook

STORI ZA NYUMA

DESIGNED BY: SEETHEAFRICANLINK

MICHEZO

3/SPORTS/small-col-left

HABARI

3/GENERAL NEWS/small-col-left

UDAKU

3/GOSSIP/small-col-left

BURUDANI

3/ENTERTAINMENT/small-col-left

Fashion

Nature

Business

Main Slider

10/slider-recent

Music