Monday, July 3, 2017

thumbnail

Fid Q asingekuwa mwanamuziki angekuwa Professor – Madee


Msanii wa Bongo Fleva anayewakilisha kundi la Tip Top Connection, Madee amesema msanii wa hip hop Bongo, Fid Q kama asingekuwa msanii angekuwa professor.
Madee ambaye kwa sasa anafanya vizuri na wimbo wake ‘Hela’ ameiambia Clouds FM, sababu kuamini hivyo ni kutokana na upeo mkubwa wa Fid Q.
“Fid kuacha muziki ni mtu mwingine kabisa, unajua mimi nakaa nae nachati nae sana namgundua kama asingekuwa mwanamuziki angekuwa professor fulani hivi. Kwa sababu ana vitu vingi sana ambavyo akiongea unaona mbona huyo mtu yupo deep, kwa hiyo vitu vingi huwa najifunza kutoka kwake,” amesema Madee.

Subscribe by Email

Follow Updates Articles from This Blog via Email

No Comments

About

Powered by Blogger.

Facebook

STORI ZA NYUMA

DESIGNED BY: SEETHEAFRICANLINK

MICHEZO

3/SPORTS/small-col-left

HABARI

3/GENERAL NEWS/small-col-left

UDAKU

3/GOSSIP/small-col-left

BURUDANI

3/ENTERTAINMENT/small-col-left

Fashion

Nature

Business

Main Slider

10/slider-recent

Music