Taarifa kwa Wanachama wa Chadema na Wananchi wa Jimbo la Kawe, Mhe Halima Mdee Mbunge wa Kawe aliyekuwa akishikiliwa na Jeshi la Police Kituo cha Osterbay tokea siku ya Jumanne jioni mpaka sasa Amehamishiwa Central Police.
Kwa wale wote mnaotaka kumjulia hali Mbunge kwasasa tuelekee Central Police....
BY HENRY KILEWO
KATIBU CDM DSM
Subscribe by Email
Follow Updates Articles from This Blog via Email

No Comments