Tuesday, July 18, 2017

thumbnail

Lulu Diva apewa stress na Vee Money

Msanii wa Bongo Fleva, Vanessa Mdee ‘Vee Money’.

 WANAMUZIKI ambaye kwa sasa anafanya vizuri na wimbo uitwao Utamu, Lulu Abas ‘Lulu Diva’ amefunguka kuwa mwanamuziki wa kike anayempa mawazo hapa Bongo ‘sterss’ ni Vanessa Mdee ‘Vee- Money’ ambapo kila akifikiria juu ya kazi zake anajikuta akichanganyikiwa na kuzidi kukomaa kwenye gemu ili siku moja awe juu zaidi.
Mwanamuziki anafanya vizuri na wimbo uitwao Utamu, Lulu Abas ‘Lulu Diva’.

Akichonga na Uwazi Showbiz, Lulu alisema kuwa Vee Money ni mwanamuziki bora kwake na anauwezo mzuri sana ambapo ndoto zake ni siku moja kufanya muziki wa kimataifa kama ilivyo kwake ikiwezekana kabisa kumshinda, kwenda zaidi ya hapo alipo yeye kwa sasa.

“Bongo kwa wanamuziki wa kike kiukweli anayenipa stress ni Vee, kila mtu anafahamu kuwa ni mkali na anajituma kwenye muziki wake, sasa mimi malengo yangu ni kufanya kazi kwa juhudi ili kufika mbali, kwanza kuwa hapo alipo yeye na baadaye kupita zaidi,“ alisema Lulu Diva.

Subscribe by Email

Follow Updates Articles from This Blog via Email

No Comments

About

Powered by Blogger.

Facebook

STORI ZA NYUMA

DESIGNED BY: SEETHEAFRICANLINK

MICHEZO

3/SPORTS/small-col-left

HABARI

3/GENERAL NEWS/small-col-left

UDAKU

3/GOSSIP/small-col-left

BURUDANI

3/ENTERTAINMENT/small-col-left

Fashion

Nature

Business

Main Slider

10/slider-recent

Music