Nikupongeze kwa hatua uliyoamua kuichukua ya kurejesha huo mgao wa Escrow......Lakini naomba ujibu haya maswali...
1.Ulichukua huo mgao kwa kazi gani?
2.Wewe na aliyekupa mlikua na mahusiano gani?
3.Kilicho kufanya urejeshe hizo fedha ni kipi? a) ni mali ya umma. b) Ulipokea kimakosa?
4.Je hizo fedha utarejesha kwenye akaunti ya nani?
5.Kutokana na swali la 3 upo tayari kutoa ushahidi mahakamani?
Subscribe by Email
Follow Updates Articles from This Blog via Email

No Comments