Tuesday, July 11, 2017

thumbnail

Maswali 5 Tata Kwa Ngeleja Baada ya Kutangaza Kurudisha Pesa za Escrow


Nikupongeze kwa hatua uliyoamua kuichukua ya kurejesha huo mgao wa Escrow......Lakini naomba ujibu haya maswali...

1.Ulichukua huo mgao kwa kazi gani?
2.Wewe na aliyekupa mlikua na mahusiano gani?
3.Kilicho kufanya urejeshe hizo fedha ni kipi? a) ni mali ya umma. b) Ulipokea kimakosa?
4.Je hizo fedha utarejesha kwenye akaunti ya nani?
5.Kutokana na swali la 3 upo tayari kutoa ushahidi mahakamani?

Subscribe by Email

Follow Updates Articles from This Blog via Email

No Comments

About

Powered by Blogger.

Facebook

STORI ZA NYUMA

DESIGNED BY: SEETHEAFRICANLINK

MICHEZO

3/SPORTS/small-col-left

HABARI

3/GENERAL NEWS/small-col-left

UDAKU

3/GOSSIP/small-col-left

BURUDANI

3/ENTERTAINMENT/small-col-left

Fashion

Nature

Business

Main Slider

10/slider-recent

Music