Friday, July 7, 2017

thumbnail

Nazaa tena mwaka huu- Aunt Ezekiel


STAA kutoka Bongo Muvi, Aunt Ezekiel ameweka wazi kuwa wazo la kushika ujauzito hivi karibuni halipo na kwamba kuzaa tena labda mpaka mwaka 2027 ambapo mtoto wake, Cookie atakuwa amefikisha miaka 10.

Akizungumza na Star Mix, Aunt alisema kuwa maisha ya sasa yamebadilika sana ni lazima hata kwenye kuzaa mtu ujipange ili kutoa nafasi nzuri kwa watoto kuweza kusoma na kuishi maisha bora kuliko kuwatesa.

“Jambo la kuzaa sasa hivi hapana kabisa labda miaka kumi ijayo kwa kuwa maisha yamebadilika sana jamani sio rahisi kama ilivyokuwa huko nyuma maana hata watoto watano ningezaa,” alisema Aunt.

Subscribe by Email

Follow Updates Articles from This Blog via Email

No Comments

About

Powered by Blogger.

Facebook

STORI ZA NYUMA

DESIGNED BY: SEETHEAFRICANLINK

MICHEZO

3/SPORTS/small-col-left

HABARI

3/GENERAL NEWS/small-col-left

UDAKU

3/GOSSIP/small-col-left

BURUDANI

3/ENTERTAINMENT/small-col-left

Fashion

Nature

Business

Main Slider

10/slider-recent

Music