Saturday, July 8, 2017

thumbnail

Povu la Babu Tale kwa wanaotumia jina lake vibaya


Meneja wa kundi la Tip Top Connection na Diamond Platnumz, Babu Tale ameonyesha kukerwa na watu wanaotumia jina lake kufanya biashara zao katika mitandao.
Kupitia mtandao wa Instagram, Tale amewatolea uvivu watu hao kwa kuandika ”Huyu m**** anajua kunichafua jamani khaaa. Huyu mtu sio mimi kuna mpuuzi anaisi simjui naona nikimtolea uvivu ataishia kuomba samahani najua Upo mwanza endelea ila siku nikiamua utakuja ona dunia chungu.”
Mtu huyo amekuwa akitumia jina la Babu Tale katika mtandao wa Facebook ambapo amekuwa akijidi kwa kuuza mikoba. Majina na picha za watu maarufu yamekua yakitumika na baadhi ya watu vibaya katika mitandao ili kutapeli au kufanya biashara zao.

Subscribe by Email

Follow Updates Articles from This Blog via Email

No Comments

About

Powered by Blogger.

Facebook

STORI ZA NYUMA

DESIGNED BY: SEETHEAFRICANLINK

MICHEZO

3/SPORTS/small-col-left

HABARI

3/GENERAL NEWS/small-col-left

UDAKU

3/GOSSIP/small-col-left

BURUDANI

3/ENTERTAINMENT/small-col-left

Fashion

Nature

Business

Main Slider

10/slider-recent

Music