Tuesday, July 4, 2017

thumbnail

Sipo kwenye mahusiano na mtu yeyote – Ray C


Msanii wa Bongo Fleva, Ray C amedai kwa sasa hayupo katika mahusiano ya kimapenzi na mtu yeyote.
Muimbaji huyo ambaye kwa sasa anafanya vizuri na wimbo wake ‘Unanimaliza’, ameiambia FNL ya EATV kwa sasa hana muda kuwa na mtu zaidi ya kufanya kazi zake binafsi.
“Mimi hapana sipo kwenye mahusiano na mtu yeyote, kwa muda niliopoteza, hakuna tena muda wa kupoteza wa kumpa tena mtu mwingine naona kama muda umenipita sana, kwa hiyo akili yangu ipo kwenye kazi. Sioni kama ninaweza nikashare muda wangu na mtu mwingine, sina hata hizo feeling kwa bahati mbaya sana,” amesema Ray C.

Subscribe by Email

Follow Updates Articles from This Blog via Email

No Comments

About

Powered by Blogger.

Facebook

STORI ZA NYUMA

DESIGNED BY: SEETHEAFRICANLINK

MICHEZO

3/SPORTS/small-col-left

HABARI

3/GENERAL NEWS/small-col-left

UDAKU

3/GOSSIP/small-col-left

BURUDANI

3/ENTERTAINMENT/small-col-left

Fashion

Nature

Business

Main Slider

10/slider-recent

Music