Tuesday, July 18, 2017

thumbnail

Staa wa filamu za kihindi atua Bongo


Tanzania imekuwa ni sehemu muhimu kwa mastaa wakubwa duniani kwa mwaka huu. Muigizaji na muandaaji wa filamu za kihindi, Sanjay Balraj Dutt ameongeza idadi ya watu maarufu ambao wametembelea nchini kwa ajili ya mapumziko.
Muigizaji huyo amepokelekewa na Mbunge wa Manonga wilaya ya Igunga, Tabora Mh. Seif Khamis Gulamali, na anatarajiwa kutembelea katika mbuga za wanyama za Ngorongoro zilizopo mkoani Arusha.



Subscribe by Email

Follow Updates Articles from This Blog via Email

No Comments

About

Powered by Blogger.

Facebook

STORI ZA NYUMA

DESIGNED BY: SEETHEAFRICANLINK

MICHEZO

3/SPORTS/small-col-left

HABARI

3/GENERAL NEWS/small-col-left

UDAKU

3/GOSSIP/small-col-left

BURUDANI

3/ENTERTAINMENT/small-col-left

Fashion

Nature

Business

Main Slider

10/slider-recent

Music