Monday, July 10, 2017

thumbnail

TFF yatoa onyo kwa timu zitakazochelewa kukamilisha usajili

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limetoa angalizo kwa klabu zote za Ligi Kuu Bara kuhakikisha zimekamilisha usajili ifikapo Agosti 6, mwaka huu.

TFF imesema hakutakuwa na nafasi ya kuongeza muda kwa timu yoyote ambayo haitakuwa imekamilisha usajili.

"Muda upo, kila timu inajua na hadi sasa wanajua muda sahihi wa mwisho ni upi," alisema Msemaji wa TFF, Alfred Lucas.

"Hivyo nawapa tahadhari mapema. Hakutakuwa na nafasi tena ya kuongeza muda au kuishawishi Fifa kutupa muda kama ilivyokuwa msimu uliopita.

"Timu ambayo haitakamilisha usajili ndani ya muda, ijue itakuwa imejiteremsha daraja," alisisitiza Alfred.

Subscribe by Email

Follow Updates Articles from This Blog via Email

No Comments

About

Powered by Blogger.

Facebook

STORI ZA NYUMA

DESIGNED BY: SEETHEAFRICANLINK

MICHEZO

3/SPORTS/small-col-left

HABARI

3/GENERAL NEWS/small-col-left

UDAKU

3/GOSSIP/small-col-left

BURUDANI

3/ENTERTAINMENT/small-col-left

Fashion

Nature

Business

Main Slider

10/slider-recent

Music