Thursday, July 20, 2017

thumbnail

Umeuona uzi mpya wa Mbeya City?


 Kikosi cha Mbeya City kimeanika jezi zake mpya lakini kikiwa kimechukua ushauri iliotolewa na Salehjembe kutoa msalaba kwenye jezi zao.

Awali Mbeya City walionyesha hadharani jezi ziliokuwa na alama ya msalaba na blog hii ikawapa ushauri kuachana na mfumo huo mara moja kwa kuwa timu za Tanzania si sawa na zile za Ulaya.
Pia kufanya hivyo ni sawa na kuwachanganya mashabiki ambao wanapokuwa katika timu wanakuwa hawana dini.

Safari hii wametangaza jezi zao mpya zikiwa na chata ya mdhamini RB Battery, jambo ambalo linaonyesha ni watu wanaofuata weledi.

Kingine kizuri katika jezi hizo zinaonekana kutokuwa na mambo mengi kama ambavyo inatakiwa katika jezi nyingi za kisasa.

Subscribe by Email

Follow Updates Articles from This Blog via Email

No Comments

About

Powered by Blogger.

Facebook

STORI ZA NYUMA

DESIGNED BY: SEETHEAFRICANLINK

MICHEZO

3/SPORTS/small-col-left

HABARI

3/GENERAL NEWS/small-col-left

UDAKU

3/GOSSIP/small-col-left

BURUDANI

3/ENTERTAINMENT/small-col-left

Fashion

Nature

Business

Main Slider

10/slider-recent

Music