Sunday, July 16, 2017

thumbnail

VIDEO: Limetolewa Tamko kuhusu Mashekhe wa Uamsho, Leo Julai 16

Kwaniaba ya Waislamu Mwenyekiti wa taasisi ya Imam Bukhari, Sheikh khalifa Khamisi ameeleza kwa masikitiko makubwa Madhira ambayo wameendelea kufanyiwa watuhumiwa wa kesi mbalimbali za ugaidi hapa nchini hususani Masheikh wa Uamsho waliokamatwa Visiwani Zanzibar mwaka 2012, ambapo amemuomba Rais Magufuli kuingilia kati ili watuhumiwa hao wapewe haki yao kwani wamekaa mahabusu muda mrefu.

Akizungumza na Waandishi wa habari Jijini Dar es salaam, Sheikh Khalifa amesema Watuhumiwa hao wanafanyiwa manyanyaso  wakati mahakama bado haijawahukumu na kuwakuta na makosa wanayotuhumiwa, jambo ambalo limewafanya kutoa tamko hili...

TZAMA FULL VIDEO HAPO CHINI



Subscribe by Email

Follow Updates Articles from This Blog via Email

No Comments

About

Powered by Blogger.

Facebook

STORI ZA NYUMA

DESIGNED BY: SEETHEAFRICANLINK

MICHEZO

3/SPORTS/small-col-left

HABARI

3/GENERAL NEWS/small-col-left

UDAKU

3/GOSSIP/small-col-left

BURUDANI

3/ENTERTAINMENT/small-col-left

Fashion

Nature

Business

Main Slider

10/slider-recent

Music