Saturday, July 1, 2017

thumbnail

Watanzania tumechezewa mno- Rais Magufuli


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli amesema huu ni muda wa kuibadilisha Tanzania huku akisema Watanzania wamechoka kuchezewa katika maendeleo wamechezewa siku nyingi mno.
Akizungumza leo wakati akizindua rasmi maonyesho ya kimataifa ya biashara ya Sabasaba, Rais amesema maonyesho hayo yatumike kama chachu ya maendeleo kwa Watanzania.
“Nadhani huu ni wakati wa kuibadilisha Tanzania, Tumechoka tumechezewa siku nyingi mno, hatujaamka na mimi nawaambia Watanzania tumechezewa mno lakini tulichezewa kwasababu tuliamua sisi kuchezewa ni lazima tubadilike Consious ni kuitengeza Tanzania mpya tuanze nayo sasa,” alisema Rais Magufuli.

Subscribe by Email

Follow Updates Articles from This Blog via Email

No Comments

About

Powered by Blogger.

Facebook

STORI ZA NYUMA

DESIGNED BY: SEETHEAFRICANLINK

MICHEZO

3/SPORTS/small-col-left

HABARI

3/GENERAL NEWS/small-col-left

UDAKU

3/GOSSIP/small-col-left

BURUDANI

3/ENTERTAINMENT/small-col-left

Fashion

Nature

Business

Main Slider

10/slider-recent

Music