Wednesday, July 19, 2017

thumbnail

Watu wengi maarufu duniani wamekuwa wakipishana kwa kupigana vikumbo kwenye mlango wa kuingilia Tanzania kwa mwaka huu. Muigizaji mkongwe wa filamu nchini Marekani ambaye anafahamika kwa jina la Harrison Ford ni staa mwingine ambaye ametua nchini kimya kimya.
Ford ni muigizaji na mtayarishaji wa filamu, ambaye pia ameigiza katika filamu ya ‘The Expendables 3’ ameonekana katika mbuga ya wanyama ya Serengeti.

Muigizaji Harrison Ford akiwa katika mbuga ya wanyama, Serengeti
Katika filamu hiyo, Harrison Ford ametumia jina la Max Drummer.

Subscribe by Email

Follow Updates Articles from This Blog via Email

No Comments

About

Powered by Blogger.

Facebook

STORI ZA NYUMA

DESIGNED BY: SEETHEAFRICANLINK

MICHEZO

3/SPORTS/small-col-left

HABARI

3/GENERAL NEWS/small-col-left

UDAKU

3/GOSSIP/small-col-left

BURUDANI

3/ENTERTAINMENT/small-col-left

Fashion

Nature

Business

Main Slider

10/slider-recent

Music