Saturday, July 8, 2017

thumbnail

Wiz Kid kuachia project mpya




Wiz Kid ndiye msanii pekee kwa sasa Afrika anayeongoza kushirikishwa na kushiriki katika ngoma kubwa za wasanii na kupelekea kupata tuzo kama BMA(Billboard Music Awards) ambapo alifanikiwa kunyakua tuzo tatu akiwa na rapper Drake.
Msanii huyo kutoka Nigeria anatarajia kuachia project yake mpya mwezi huu ifikapo tarehe 14, project hiyo inayoitwa “Sounds From The Other Side” (SFTOS) itakuwa na ngoma zipatazo kumi na mbili.
Kupitia mtando wa Instagram msanii huyo ameshare cover ya project yake hiyo itakayo kuwa na ngoma kama ‘Dirty Wine, One For Me, Gbese ngoma ambayo amemshirirkisha Trey Songz.

“Big up my fans for the continuous support and love!! Sharing our good energy with the world! Hope u Enjoy and stay happy ! #SFTOS! ❤️ July 14th,” ameandika Wiz


.

Subscribe by Email

Follow Updates Articles from This Blog via Email

No Comments

About

Powered by Blogger.

Facebook

STORI ZA NYUMA

DESIGNED BY: SEETHEAFRICANLINK

MICHEZO

3/SPORTS/small-col-left

HABARI

3/GENERAL NEWS/small-col-left

UDAKU

3/GOSSIP/small-col-left

BURUDANI

3/ENTERTAINMENT/small-col-left

Fashion

Nature

Business

Main Slider

10/slider-recent

Music