Sunday, June 25, 2017

thumbnail

EAST AFRICA TV & RADIO Walivyotilia Shaka Uwepo wa Rayvanny Tuzo za BET....Aibu Kwao


Hatimaye......Rayvanny Winning BET AWARDS 2017
.
.

Ila tujikumbushe kidogo....mnamo tarehe 9 June👇 .
EAST AFRICA TV & RADIO watilia shaka uwepo wa @Rayvanny kwenye Tuzo za BET .
.

SHAKA LA KWANZA....ni msanii huyo kutowekwa katika website yao ambapo wasanii wote ambao wapo nominated wamewekwa katika website hiyo
.
.

SHAKA LA PILI....ni page ya BET iliyompost Rayvanny kumuombea kura kwamba ina followers wachache na haipo verified.
.
Je kwa hili la Rayvan Je Aibu yao au Aibu ya nani??? .

Subscribe by Email

Follow Updates Articles from This Blog via Email

No Comments

About

Powered by Blogger.

Facebook

STORI ZA NYUMA

DESIGNED BY: SEETHEAFRICANLINK

MICHEZO

3/SPORTS/small-col-left

HABARI

3/GENERAL NEWS/small-col-left

UDAKU

3/GOSSIP/small-col-left

BURUDANI

3/ENTERTAINMENT/small-col-left

Fashion

Nature

Business

Main Slider

10/slider-recent

Music